1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je mila na fikra potovu huchangiaje manyanyaso ya kijinsia?

11 Desemba 2020

Wakati dunia ikifanya kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, nchini Tanzania mila na masuala ya kiuchumi inaelezwa kuwa miongoni mwa mambo yanayochangia unyanyasaji na ukatili wa kijinsia. Hebu tazama na usikilize maoni ya baadhi ya wakaazi wa Dar Es Salaam kuhusu hilo.

https://p.dw.com/p/3mZ6U