JamiiJe lugha ya vijana inafedheheshaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiLilian Mtono31.10.201831 Oktoba 2018Vijana mnakubaliana na madai kwamba mara nyingine huwa mnatumia lugha inayowakashifu wazee ambayo pia wakati mwingine pia huwakera wazee. Je madai haya ni ya kweli ama si kweli? Wasikilize vijana wanavyojadili hapa kwenye Vijana Tugutuke.https://p.dw.com/p/37R5hMatangazo