1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Israel yadaiwa kuishambulia Iran

Sylvia Mwehozi
19 Aprili 2024

Duru zinasema Israel imefanya shambulio katika ardhi ya Iran mapema leo Ijumaa, siku kadhaa baada ya Iran kuishambulia kwa makombora na droni nchi hiyo katika hatua ya kulipiza kisasi. Hatua hiyo imezidisha wasiwasi wa kutanuka kwa mzozo katika kanda ya Mashariki ya Kati. #kurunzi

https://p.dw.com/p/4eyfM