JamiiIsaac Gamba aagwa MwanzaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiLilian Mtono30.10.201830 Oktoba 2018Mwili wa mtangazaji mwenzetu Isaac Gamba umeagwa hii leo Jijini Mwanza na watu mbalimbali, na hatimaye kuanza safari ya kwenda kupumzishwa kwenye nyumba yake ya milele, huko wilayani Bunda. Vidio hii ina mengi zaidi. Buriani Gamba. https://p.dw.com/p/37OUVMatangazo