SiasaMashariki ya KatiHamas, Israel waanza makubaliano usitishaji mapiganoTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaMashariki ya KatiMohammed Khelef21.05.202121 Mei 2021Makubaliano ya kusitisha mapigano baina ya Israel na wapiganaji wa Hamas katika Ukanda wa Gaza yameanza kutekelezwa mapema leo, baada ya siku 11 za mashambulizi na mauaji ya kikatili.https://p.dw.com/p/3tmG4Matangazo