1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Dhuluma dhidi ya wavuvi wa Kenya katika ziwa Victoria

Michael Kwena / MMT25 Novemba 2022

Mzozo baina ya wavuvi katika Ziwa Viktoria nchini Kenya umeendelea kuripotiwa kila wakati huku wavuvi kutoka Kenya wakiendelea kudhulumiwa mikononi mwa maafisa wa polisi wa taifa Jirani la Uganda. Makala ya Mbiu ya Mnyonge inamulika dhuluma za wavuvi hao ziwani Victoria.

https://p.dw.com/p/4K2Ps