SiasaBobi Wine: Ni lazima nirudi nyumbani Uganda To view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSylvia Mwehozi07.09.20187 Septemba 2018Mwanamuziki ambaye pia ni mbunge wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine, amesema ataendelea kutetea wananchi na haogopi kurejea nyumbani. Alizungumza hayo mjini Washington katika mkutano na waandishi wa habari. Papo kwa Papo 07.09.2018. https://p.dw.com/p/34T9nMatangazo