1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Historia

Bibi Titi Mohamed: "Mama wa Taifa" Tanzania

Yusra Buwayhid
28 Februari 2020

Tanganyika ilipopata uhuru, Mwalimu Julius Nyerere ndiye aliyesifiwa na kupewa jina la baba wa taifa. Lakini bila ya Bibi Titi Mohamed, asingekuwa na ushawishi wa kutosha wa kufanikiwa kuikomboa nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/3Yayg