Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas yaanza kutekelezwa. // Viongozi mbalimbali wasifia na kukaribisha makubaliano ya kusitisha mashambulizi kati ya Israel na Hamas.// Umoja wa Ulaya wakubaliana kuhusu cheti cha kidijitali cha COVID-19 kuruhusu usafiri barani Ulaya.