1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tamasha la Simiyu lanoga kwa ngoma za jadi

Yusra Buwayhid
12 Julai 2018

Karibu katika tamasha la Simiyu linalofanyika kwa mara ya pili nchini Tanzania. Jamii mbili zenye upinzani wa jadi za Wagika na Wagalo kutoka kabila la Wasukuma hushindana kutafuta mshindi katika ngoma za asili, ukulima, utibabu wa kutumia miti shamba na wingi wa watu katika kila jamii. Kila upande unapambana kuibuka mshindi. Angalia hapa mambo ya Simiyu huko nchini Tanzania.

https://p.dw.com/p/31MAE