Kisiwani Pemba na visiwa vidogovidogo vilivyoko karibu, mradi wa kilimo misitu au kilimo mseto yaani 'Agroforestry' umeanza kuleta matumaini. Uoto umeanza kurejea, huku wakaazi pia wakifurahia mazao ya shambani. Ni vipi mradi huo unaendeshwa? Tizama vidio