1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.09.2020 Matangazo ya Jioni

19 Septemba 2020

Wizara ya mambo ya Nje ya Belarus imesema inautazama uwezekano wa ushiriki wa mwanasiasa wa upinzani, Sviatlana Tsikhanouskaya katika mkutano wa ngazi ya mawaziri wa Umoja wa Ulaya, kama uingiliwaji wa masuala ya ndani ya taifa hilo.

https://p.dw.com/p/3ijPb