Miongoni mwa yayliyomo kwenye matangazo haya ya mchana ni Marekani na Uingereza waikosoa hatua ya rais wa Sri Lanka ya kulivunja bunge, Idadi ya vifo vilivyosababishwa na mabomu ya kujitoa muhanga vyazidi kuongezeka nchini Somalia na Wakuu wa mataifa 60 duniani wakutana ufaransa kuadhimisha miaka 100 tangu vita vya kwanza vya dunia.