1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Vyombo vya habariAfrika

Vyombo vya Habari Uganda vyalilia usalama uchaguzi wa 2021

Emmanuel Lubega14 Julai 2020

Wamiliki wa vyombo vya habari nchini Uganda wanaitaka Tume ya Uchaguzi kuhakikisha kuwa vyombo vya usalama havitatizi shughuli zao katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2021. Wito huo ni baada ya tume kutoa mwongozo kwamba kampeni za kisiasa zitaendeshwa kupitia redio na televisheni, vyombo vya habari vinahofia kuwa vyombo vya usalama vitawanyanyasa. Sikiliza ripoti ya Lubega Emmanuel.

https://p.dw.com/p/3fIB7