1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vuguvugu la kupinga kuanzishwa tawi la vijana la AfD

2 Desemba 2025

Chama cha AfD kinachopinga wahamiaji na kinachofuata siasa kali za mrengo wa kulia Alternativ für Deutschland (AfD) hivi karibuni kimeanzisha tawi lake la vijana na kumchagua kiongozi wake Jean-Pascal Hohm. Hatua ya kuanzisha tawi hilo imekumbana na upinzani mkali nchini Ujerumani. Makala ya Sura ya Ujerumani inakufahamisha zaidi.

https://p.dw.com/p/54dzZ