1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ushawishi wa Joseph Kabila wazidi kushuka kisiasa DRC?

21 Desemba 2020

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo muungano wa vyama vinavyomuunga mkono rais wa zamani Joseph Kabila FCC unaendelea kupata pigo kufuatia wanasiasa zaidi kutangaza kujitoa na kumuunga mkono rais Felix Tschisekedi.

https://p.dw.com/p/3n0CM

Washirika wa Rais mstaafu Kabila wanamlaumu kiongozi huyo kuwa chanzo cha mgawanyiko na kutoonesha njia katika wakati mambo yanakwenda mrama.

Lakini kwa nini Kabila mwenyewe amechagua kukaa kimya? Rashid Chilumba amemuuliza mchambuzi wa siasa za DRC Delphin Kapaya swali hilo. Hebu sikiliza.