You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Picha: John Juma/DW
Rashid Chilumba
Mhariri na mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya DW
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Rashid Chilumba
Taarifa zilizoonesha na Rashid Chilumba
Shinikizo la Biden kutowania tena urais laongezeka
Shinikizo la kumtaka Joe Biden asiwanie muhula wa pili wa urais nchini Marekani limeongezeka.
Nyati wanane wafariki baada ya kupigwa na umeme
Matukio ya wanyama pori kufariki kwa kupigwa na umeme yamekuwa mengi katika mbuga za Nakuru
EU: kuwapeleka waomba hifadhi kwenye mataifa mengine
Baadhi ya nchi wanachama wa EU kama Austria na Denmark wameonesha shauku ya kufuatia njia iliyochukuliwa na Uingereza
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Rashid Chilumba
Taarifa na Rashid Chilumba
Hofu ya mzozo wa Mashariki ya Kati kusambaa bado yatawala
Hofu ya mzozo wa Mashariki ya Kati kusambaa bado yatawala
Mamlaka za Ukanda wa Gaza zimesema watu 22 wameuawa kwenye shambulizi la kombora la Israel lililoilenga shule.
Umoja wa Ulaya waipatia Ukraine mkopo wa mabilioni
Umoja wa Ulaya waipatia Ukraine mkopo wa mabilioni
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen ametangaza mpango wa kuipatia Ukraine mkopo wa mabilioni.
Von der Leyen aizuru Ukraine kujadili usalama wa nishati
Von der Leyen aizuru Ukraine kujadili usalama wa nishati
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen ameitembelea Ukraine kujadili usalama wa nishati.
Ruto atetea rikodi ya uongozi wake wa miaka miwili
Ruto atetea rikodi ya uongozi wake wa miaka miwili
Rais William Ruto wa Kenya ametetea rikodi yake ya miaka miwili madarakani akisema hakuna serikali ya nchi hiyo iliyowahi kuweka mikakati madhubuti ya kuiendeleza Kenya kuliko ile anayoiongoza. Rashid Chilumba alikaa na kiongozi aliekuwa ziarani mjini Berlin, Ujerumani na kujadiliana naye juu ya rekodi hiyo pamoja na mambo mengine.
Ruto atetea rikodi ya uongozi wake wa miaka miwili
Ruto atetea rikodi ya uongozi wake wa miaka miwili
Rais William Ruto wa Kenya ametetea rikodi yake ya miaka miwili madarakani katika mahojiano maalumu na DW.
Mahojiano maalumu na Rais William Ruto wa Kenya
Mahojiano maalumu na Rais William Ruto wa Kenya
Idhaa ya Kiswahili ya DW imefanya mahojiano maalumu na Rais William Ruto wa Kenya akiwa ziarani mjini Berlin.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo