1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Union wapunguza mwanya na Bayern

Josephat Charo30 Januari 2023

Bayern walazimishwa sare kwa mara ya tatu mfululizo. Liverpool yatolewa nje ya mashindano ya kombe la FA. Yanga watinga hatua ya 16 bora kombe la Shirikisho Tanzania. Na nyota wa tenis raia wa Serbia Novak Djokovic ashinda taji la kumi la mashindano ya tenis ya Australian Open.

https://p.dw.com/p/4Msgm