Rais wa Marekani Donald Trump amewataka washirika wake wa nchi za Ulaya kuwarejesha nyumbani mamia ya wanamgambo wa kigeni wa kundi linalojiita Dola la Kiislam-IS waliokamatwa nchini Syria na vikosi vya Kikurdi vya Syria vinavyoungwa mkono na Marekani. Kurunzi: 18.02.2019