1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 25.09.2025

DIRA.BZ25 Septemba 2025

Muhtasari: Rais wa Iran asema nchi yake haina lengo la kuunda silaha za nyuklia wakati akihutubia mkutano wa Umoja wa Mataifa. -Shambulio la droni lawajeruhi watu 20 katika mji wa kusini mwa Israel.-Urusi yaapa kuendeleza mashambulizi dhidi ya Ukraine.

https://p.dw.com/p/5128x