1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 19.09.2022

Josephat Charo
19 Septemba 2022

Mwili wa marehemu Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza kuzikwa leo jijini London. Marekani yaitaka Azerbaijan iheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyoafikiwa pamoja na Armenia. Na rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton atetea utanuzi wa jumuiya ya kujihami ya NATO Ulaya Mashariki.

https://p.dw.com/p/4H2cS