1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, Saa 12:00 Asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
6 Julai 2018

https://p.dw.com/p/30v10

Vyama vitatu vinavyounda serikali ya Ujerumani vimepata makubaliano kuhusu sera ya waomba hifadhi.
Urusi imezuia makubaliano katika Baraza la Usalama kuhusu hali ilivyo Kusini Magharibi mwa Syria.
Mnada wa kuwania kulala katika chumba cha jela cha Nelson Mandela wakosolewa.