1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, Saa 12:00 Asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
3 Oktoba 2017

https://p.dw.com/p/2l88j

Polisi wa Marekani wajaribu kufahamu sababu iliyomfanya mshambuliaji wa Las Vegas kuuwa watu 59, Amnesty International yataka uchunguzi juu ya mauaji ya waandamanaji nchini Cameroon, na kiongozi wa jimbo la Catalonia awataka polisi wa serikali ya Uhispania kuondoka katika jimbo hilo lenye mamlaka ya ndani.