1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Saudia yazidi kushinikizwa kuhusu Khashoggi

11 Oktoba 2018

Maseneta nchini Marekani wameiandikia serikali ya Rais Donald Trump kuitaka iishinikize Saudi Arabia kutoa ufafanuzi wa kina juu ya kutoweka kwa mwandishi wa habari mashuhuri, Jamal Khashoggi, akiwa kwenye ubalozi wa Saudia nchini Uturuki.

https://p.dw.com/p/36Lv8