1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JangaUgiriki

Mwangaza wa Ulaya: Matetemeko ya ardhi kisiwani Santorini

11 Februari 2025

Tangu Februari 1,2025, mamia ya matetemeko ya ardhi yamekuwa yakishuhudiwa katika kisiwa cha Santorini nchini Ugiriki, na hivyo kuzusha hofu miongoni mwa wananchi kuwa huenda hali hiyo inaashiria uwezekano wa tetemeko kubwa zaidi na hata mripuko wa volkano kama ilivyotokea miongo sita iliyopita. Matetemeko hayo ya ardhi huko Santorini yamepelekea maelfu ya watu kulazimika kuyahama makazi yao.

https://p.dw.com/p/4qKWL