1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Muungano wa Saudia wakataa kusitisha mapigano Yemen

20 Novemba 2018

Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia nchini Yemen, umekataa pendekezo la kusitisha mapigano na waasi wa Kihouthi, ukisema waasi hao wa Kishia wanaoungwa mkono na Iran hawana nia ya dhati na wanaendeleza operesheni za kivita licha ya kudai wanataka amani.

https://p.dw.com/p/38bK8