1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
KandandaUjerumani

Msimu mpya wa kandanda la Ujerumani kuanza

15 Agosti 2025

Msimu wa ligi kuu Ulaya unaanza hii leo hapa Ujerumani kesho kutakuwa na mechi ya ufunguzi wa pazia ya German Cup ambapo Bayern Munich watakuwa wanakwaana na VfB Stuttgart, lakini usiku wa leo huko England na Uhispania, Premier League pamoja na La Liga zitakuwa zinacheza mechi za kwanza.

https://p.dw.com/p/4z3MA
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio