Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema Rais wa Marekani Donald Trump, hana uhalali wowote wa kisheria au kimaadili wa kuipokonya Iran haki zake za nyuklia. Watu sita wameuwawa katika eneo la Holosiivskyi mjini Kyiv, baada ya mtu mwenye silaha kuwafyatulia risasi. Brazil, Uhispania na Mexico zaahidi kuimarisha msaada kwa Cuba.