1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana: 19.04.2026

19 Aprili 2026

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema Rais wa Marekani Donald Trump, hana uhalali wowote wa kisheria au kimaadili wa kuipokonya Iran haki zake za nyuklia. Watu sita wameuwawa katika eneo la Holosiivskyi mjini Kyiv, baada ya mtu mwenye silaha kuwafyatulia risasi. Brazil, Uhispania na Mexico zaahidi kuimarisha msaada kwa Cuba.

https://p.dw.com/p/5CRdr
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)