Uamuzi wa rais Joe Biden wa kutomwadhibu mrithi wa mfalme wa Saudi Arabia kwa mauaji ya mwandishi habari Jamal Khashoggi wawavunja moyo wanaharakati, Iran yasema mashambulizi ya angani yaliofanywa Ijumaa na Marekani Mashariki mwa Syria yanachochea ugaidi na Spika wa bunge nchini Libya Aguila Saleh asema bunge kuzungumzia kura ya kutokuwa na imani na serikali mpya ya umoja wa taifa Machi 8