Mamlaka ya Hamas Gaza yaonya kuhusu mzozo mkubwa wa kibinadamu kutokana na mafuriko. Katibu Mkuu wa Umoja wa Kitaifa Antonio Guterres afanya ziara Iraq kuadhimisha mwisho wa misheni ya UNAMI. Marekani yaiondolea Belarus baadhi ya vikwazo vya kibiashara.