You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Iran
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Martin Schulz
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Maelfu ya wahamiaji wawasili tena Lampedusa, Italia
Maelfu ya wahamiaji wamewasili tena kwenye kisiwa cha Lampedusa kinachomilikiwa na Italia katika Bahari ya Mediterenia.
EU, Ujerumani zaitaka Poland kujieleza kuhusu rushwa ya visa
Upinzani wa Poland unadai kuwa idadi halisi huenda ni watu 250,000 waliopewa visa kwa njia ya udanganyifu na rushwa.
Steinmeier: Ujerumani imefikia ukomo wa kupokea wahamiaji
Rais wa Ujerumani Frank-walter Steinmeier amekiri taifa hilo lakabiliwa na changamoto ya kupokea wahamiaji zaidi.
EU, Ujerumani zataka Poland kujieleza kuhusu rushwa ya visa
EU na Ujerumani zimeiongezea Poland shinikizo kufafanua kashfa ya utoaji viza inayoweza kuathi uhusiano na majirani.
Ujerumani: Watu kadhaa wajeruhiwa kwenye mkutano wa Eritrea
Vurugu zilitokea kati ya wanaounga mkono na wanaipinga serikali ya Eritreaya rais Isaias Afwerki.
Ufaransa, Ujerumani na Uingereza kuendeleza vikwazo kwa Iran
Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zitaendelea kuiwekea vikwazo Iran kutokana na kuendelea kuzalisha silaha za nyuklia.
Ujerumani kubana matumizi katika bajeti yake mpya
Makato hayo ni tata kwenye serikali ya shirikisho ambayo muungano wake unahusisha chama cha kansela Olaf Scholz.
G7 inahitaji kuongeza wanachama
Mkuu wa Kongamano la Usalama la Munich, anaunga mkono kuongeza wanachama wa G7.
Scholz atoa mwito kwa Ujerumani kuungana kunusuru taifa
Scholz pia amekishambulia chama cha siasa kali za mrengo wa kulia chama mbadala kwa Ujerumani AfD, kutaka kuibomoa nchi.
Ujerumani yaonya dhidi ya uvumi wa kifo cha Prighozhin
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock ameonya juu uvumi unaosambaa kuhusiana na ajali ya ndege ambayo ma
Viongozi wa neo-Nazi kufikishwa mahakamani Jena.
Viongozi wa neo-Nazi kufikishwa mahakamani Jena.
Ujerumani haitoweka sheria kwa lengo la NATO kijeshi
Serikali ya Ujerumani haitaki kuweka sheria kwa ajili ya kufikia lengo la matumizi ya kijeshi la Jumuiya ya NATO.
Wajerumani wenye asili ya Afrika walenga kuvunja vikwazo
Watu zaidi wenye asili ya Afrika wanasherehekea mafanikio ya kitaaluma nchini Ujerumani, kwenye muziki, michezo na siasa
Ujerumani yazindua mswada wa kuhalalisha bangi
Mswada wa sheria ya kuhalalisha matumizi ya bangi utajadiliwa bungeni la Ujerumani, lakini sauti za kupinga ni nyingi.
Waziri wa Ujerumani Baerbock afuta ziara ya Pasifik
Ndege hiyo ya serikali aina ya Airbus chapa 340 ililazimika kukatisha safari mara mbili baada ya kuruka kutoka Abu Dhabi
Waziri wa Ujerumani ametowa mwito kutafutwa njia amani Niger
Waziri wa Ujerumani maendeleo wa Ujerumani, Svenja Schulze mwito kutafutwa njia amani Niger
Waziri wa fedha wa Ujerumani amewasili mjini Keiv.
Waziri wa Fedha wa Ujerumani Christian Lindner amewasili njini Kiev Ukraine kwa ziara ya kisiasa.
Kesi ya udanganyifu wakati wa COVID yasikilizwa Ujerumani
Mahakama ya Cologne nchini Ujerumani, leo imeanza kusikiliza kesi ya udanganyifu wa takribani Euro milioni 16
Chama cha AfD cha Ujerumani chasema EU ni mradi ulioshindwa
Chama cha siasa kali za mrengo wa kulia cha Mbadala kwa Ujerumani AfD kimetangaza Umoja wa Ulaya kuwa "mradi ulioshindwa
Ujerumani yahimiza juhudi za upatanishi Niger
Ujerumani yahimiza kuendelea kwa juhudi za upatanishi Niger.
Kodi za nyumba zazidi kupaa Ujerumani
Nyumba zimekuwa gali zaidi Ujerumani, na vipato havitoshelezi tena.
Jeshi la Ujerumani na ugumu wa kupata askari wapya
Jeshi la Ujerumani linakabiliwa na ugumu wa kupata askari wapya
Ujerumani yaishukuru Ufaransa kwa kuwaondoa raia wake Niger
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Annalena Baerbock ameishukuru Ufaransa kwa kusaidia kuwaondoa raia wake Niger.
Vikwazo vya kiuchumi vya ECOWAS kuwaathiri raia wa Niger
Ombi la Niger la mkopo wenye thamani ya dola milioni 51 limetupiliwa mbali na Benki ya ukanda huo kutokana na vikwazo.
AfD chachagua kiongozi wa kampeni uchaguzi wa bunge la Ulaya
Maxmillian Krah ataongoza kampeni za chama cha AfD katika uchaguzi wa mwakani wa bunge la Ulaya
AfD kuamua wagombea wake katika bunge la Ulaya
Chama cha siasa kali za mrengo wa kulia cha Ujerumani AfD kuamua majina ya wagombea uchaguzi ujao wa bunge la Ulaya.
AfD yalenga kuimarisha umaarufu wake Ujerumani, Ulaya
AfD inafanya kongamano Ijumaa kuweka mikakati ya ushindi chaguzi za Ulaya na majimbo mwakani.
Ujerumani yapambana kuwahifadhi wakimbizi
Wakati idadi ya wakimbizi wanaokuja Ujerumani inaongezeka, wengi wa waliofika miaka iliyopita bado hawajapata makao yao.
Mkakati wa Ujerumani kuhusu China wavutia hisia tofauti
China imeukosoa mkakati mpya wa Ujerumani huku Taiwan ikiukaribisha.
Ujerumani yazindua mkakati mpya wa kuamiliana na China
Sera mpya ya Ujerumani kuelekea China inalenga kuweka uwiano kati ya maslahi kinzani ya Ujerumani na China.
Wafuasi wa itikadi kali AfD washika nafasi ya pili Ujerumani
Chama cha AfD kinashika nafasi ya pili endapo uchaguzi ungefanyika leo hii nchini Ujerumani, mbele ya vyama tawala.
Wahariri wa Ujerumani wazungumzia mzozo wa Darfur
Wahariri wa magazeti ya Ujerumani wamejikita wiki hii juu ya mzozo wa Darfur, kuondoka kwa jeshi la Ujerumani Mali
Ujerumani hatarini kukosa wafanyazi wa kigeni wenye ujuzi
Kuongezeka kwa umaarufu wa chama cha AfD kinachoeneza chuki dhidi ya wageni kunatishia mustakabali wa taifa hilo.
Scholz: Usalama wa Ujerumani ni kipaumbele
Kansela Olaf Scholz amesema usalama wa taifa lake umepewa kipaumbele katika bajeti ya 2024 kutokana na vita vya Ukraine.
Israel: Watu wanane wajeruhiwa mjini Tel Aviv
Israel: Watu wanane wajeruhiwa katika shambulio la gari katika mji wa Tel Aviv
Hungary, Poland zapinga mabadiliko ya sheria za Uhamiaji EU
Poland imeiunga mkono Hungary katika kupinga makubaliano ya mabadiliko ya sheria za uhamiaji.
Ujerumani na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano
Ujerumani imekosoa hasa msimamo wa Afrika Kusini wa kutokemea uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Ujerumani kuharakisha uondoaji wa wanajeshi wake Mali
Ujerumani ina wanajeshi wapatao 1,000 nchini Mali, na tayari ilianza mchakato wa kuondoa vikosi vyake.
Ujerumani na Afrika Kusini zaujadili mzozo wa Ukraine
Vita vya Ukraine na tofauti za nchi hizo kuhusu Urusi vimejitokeza katika ziara ya waziri Baerbock nchini Afrika Kusini.
Ujerumani na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano wao
Ujerumani na Afrika Kusini kuimarisha ushirikiano wao licha ya kuwa na maoni tofauti juu ya vita vya Ukraine.
Wanadiplomasia wa Umoja wa Ulaya wakutana Luxemburg
Mawaziri hao pamoja na nchi washirika wameamua kuiongezea Ukraine msaada zaidi wa kijeshi wa dola bilioni 3.82.
Baerbock na washirika wa G7, wajadili yanayoendelea Urusi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Annalena Baerbock amezungumza na mawaziri wenzake wa kundi la G7
Harakati za kijasusi za Urusi kuongezeka nchini Ujerumani
BfV imesema Urusi imekuwa ikionyesha nia ya kuzidisha kampeni za upotoshaji.
Ujerumani kuisaidia Ukraine kukabiliana na vita vya Urusi
Ujerumani kuisaidia Ukraine kukabiliana na vita vya Urusi
Scholz azungumza na China kutumia ushawishi wake kwa Urusi
Kansela Olaf Scholz amesema amezungumza na waziri mkuu wa China ili kufikisha mwisho vita nchini Ukraine.
Misimamo mikali ya mrengo wa kulia yaongezeka Ujerumani
Afd kiliainishwa kama chama kinachoshukiwa kuwa na itikadi kali za mrengo wa kulia
Ujerumani, China zafanya mazungumzo ya ngazi ya juu
Li Qiang yuko katika ziara yake ya kwanza ya kigeni mjini Berlin tangu alipoingia madarakani
China yasema Beijing inapendelea ushirikiano na Ujerumani
Waziri Mkuu wa China asema China yataka kutanua ushirikiano na kutatua tofauti zilizopo baina yake na Ujerumani.
Waziri Mkuu wa China ziarani katika mataifa mawili ya Ulaya
Ziara ya Li inafanyika wakati waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Antony Blinken naye akikamilisha ziara huko Beijing.
Magazeti ya Ujerumani yazungumzia mpango wa kuinusuru Sudan
Kuna mpango wa kujaribu kuinusuru Sudan kutokana na machafuko ya vita
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 14 wa 53
Ukurasa unaofuatia