JamiiKutana na binti huyu mkali wa Hip HopTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiLilian Mtono23.10.201923 Oktoba 2019Rachel M binti wa miaka 13 tu kutoka nchini Uganda anataka kuwafikia vijana kote Uganda kwa kutumia muziki kufikisha ujumbe wake mzito kabisa wa usawa. Msikilize kwenye video hii.https://p.dw.com/p/3Rnn3Matangazo