1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jeremy Corbyn

Jeremy Bernard Corbyn ni mwanasiasa wa Uingereza anaeuhdumu kama kiongozi wa chama cha Labour na kiongozi rasmi wa upinzani tangu 2015. Corbyn amekuwa mbunge wa Islington North tangu 1983.