1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Dokta Denis Mukwege ataka rais huru wa mpito DRC

30 Mei 2018

Mshindi wa Tuzo Mbadala ya Nobeli mwaka 2013,Dokta Denis Mukwege kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo ametaka kuundwa kwa serikali ya mpito itakayokuwa ya wataalamu kutoka asasi za kiraia nchini humo,kabla ya uchaguzi wa taifa hilo wa Desemba mwaka huu. Zaidi msikilize wakati alipozungumza na Sudi Mnette wa DW.

https://p.dw.com/p/2ybV6
Denis Mukwege Frauenarzt in DRC
Picha: DW/K. Tiassou