Iran imesema leo kwamba uvamizi wa kiwango chochote utakaofanywa na Marekani utaifanya Jamhuri hiyo ya Kiislamu kujibu "vikali"+++Chama cha Wananchi CUF- cha nchini Tanzania kimepata uongozi mpya baada mkutano mkuu wa dharura kufanyika na kumuondoa Profesa Ibrahim Lipumba aliyekiongoza chama hicho kwa miaka 27.