1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.02.2026 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ26 Februari 2026

Iran na Marekani zimeanza duru ya tatu ya mazungumzo leo Alhamisi mjini Geneva, Uswisi kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran+++Shambulizi la droni la wiki hii lililomuua msemaji wa kundi la waasi wa M23 Willy Ngoma mashariki mwa Kongo, lilisababisha vifo vya watu wengine wanane

https://p.dw.com/p/59Tjx