1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.08.2018: Matangazo ya Mchana

18 Agosti 2018

Aliyekuwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan afariki dunia baada ya kuugua muda mfupi, idadi ya vifo vya wahanga wa ajali ya daraja la Morandi yaongezeka na kufikia 41 na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na rais wa Urusi Vladimir Putin kufanya mazungumzo Ujerumani.

https://p.dw.com/p/33MNz