MigogoroKimataifa10.12.2025: Taarifa ya Habari ya AsubuhiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoMigogoroKimataifaBakari Ubena10.12.202510 Desemba 2025Waasi wa M23 wachukua udhibiti wa mji wa Uvira huko mashariki mwa DRC. Ukraine kuwasilisha Jumatano kwa Marekani nyaraka iliyofanyiwa marekebisho ya mpango wa amani. Jumuiya ya ECOWAS imesema eneo la Afrika Magharibi liko katika hali ya dharura. https://p.dw.com/p/552esMatangazo