Korea Kaskazini yadaiwa kuendeleza mipango yake ya silaha za nyuklia licha ya vikwazo kutoka Umoja wa Mataifa, Watu 18 wafa katika ajali ya helikopta nchini Urusi, na wanajeshi nchini zimbawe yawasaka wafuasi wa upinzani kwa madai ya kuchochea vurugu za baada ya uchaguzi.