1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.04.2026 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ2 Aprili 2026

Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinaendelea huku mashambulizi ya kila upande yakiripotiwa+++Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wakaazi wa Minembwe katika jimbo la Kivu Kusini wanapiga kelele kufuatia mapigano ya mara kwa mara kati ya jeshi la Kongo linaloungwa mkono na Wazalendo na Twirwaneho wanaoshirikiana na waasi wa AFC/M23.

https://p.dw.com/p/5BbZv