SiasaZanzibar yafunga kamera za usalamaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaGrace Kabogo15.01.201815 Januari 2018Serikali ya Zanzibar imefunga kamera za ulinzi na usalama aktika mji wa Unguja kwa lengo la kupunguza uhalifu pamoja na matukio ya kiharamia yaliyowahi kutokea katika miaka ya nyuma.https://p.dw.com/p/2qrekMatangazo