1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakazi waamua kupambana wenyewe na COVID-19

26 Agosti 2020

Kutokana na ongezeko la idadi ya maambukizi na vifo vinavyotokana na COVID-19 wananchi nchini Uganda wameamua kuchukua hatua wenyewe kudhibiti ugonjwa huo kwa kuwalazimisha wengine kufuata kanuni zilizowekwa. Video na Emmanuel Lubega. Kurunzi

https://p.dw.com/p/3hYH2