1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Usalama Beni wazidi kutia wasiwasi

John Kanyunyu28 Juni 2021

Hali ya usalama inazidi kuzorota katika mji wa Beni, ambako kuna taarifa za kutegwa mabomu ya kutengenezwa kienyeji katika maeneo na majengo mbalimbali yakiwemo makanisa. Ndani ya kipindi cha masaa 48 yaliyopita siku ya Jumamosi (26.06.2021), mabomu matatu yaliripuka na kusababisha kifo cha mtu mmoja pamoja na majeruhi kadhaa. John Kanyunyu anaripoti kutoka Beni.

https://p.dw.com/p/3vgCw