1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Upinzani Zimbabwe wapinga matokeo ya uchaguzi wa rais

28 Agosti 2023

Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe cha Citizens Coalition for Change (CCC) kinachookozwa na Nelson Chamisa, kimetangaza msimamo wa kuyapinga matokeo ya uchaguzi, siku moja tu ya baada ya Tume ya Uchaguzi ya taifa hilo kumtangaza Rais Emmerson Mnangangwa kuwa mshindi wa uchaguzi huo uliofanyika Jumatano na Alhamisi wiki iliyopita.

https://p.dw.com/p/4VeEk