JamiiAfrikaUfugaji wa konokono Kampala, UgandaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrikaAngela Mdungu04.03.20214 Machi 2021Nchini Uganda, ufugaji wa konokono umegeuka baraka walizopata baadhi ya wakazi wa mtaa wa Kiwatule mjini Kampala kutokana na kipindi cha kufungiwa shughuli zao nyingine katika kudhibiti maambukizi ya COVID-19. Video na Emmanuel Lubega. https://p.dw.com/p/3qDkQMatangazo