1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Twiga hatarini kutoweka Kenya

Yusra Buwayhid
16 Agosti 2019

Nchini Kenya na kote Afrika, idadi ya twiga imepungua kwa kiasi kikubwa katika miongo mitatu iliyopita, kwani baadhi ya jamii inawachinja na kula nyama yake pamoja na kutumia ngozi kama dawa. Lakini kutoweka kwa wanyama hawa hakupewi kipaumbele kinachostahili.

https://p.dw.com/p/3O1bK