SiasaTaarifa ya Habari ya Asubuhi 12.09.2017To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaJosephat Charo12.09.201712 Septemba 2017Umoja wa Mataifa wapitisha azimio la vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini. Marekani yaitaka Myanmar kukomesha machafuko na mateso dhidi ya Warohingya. Na watu 18 wauawa kwenye shambulizi la kigaidi nchini Misri.https://p.dw.com/p/2jlmiMatangazo