1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, saa 12:00 asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
20 Julai 2022

https://p.dw.com/p/4ENtc

Rais wa Urusi Vladimir Putin afanya mazungumzo na wenzake wa Uturuki na Iran mjini Tehran

Umoja wa Mataifa waonya kwamba mawimbi ya joto kama linaloikumba Ulaya hivi sasa yanaweza kugeuka kitu cha kawaida

Mali imetaka ufafanuzi juu ya uhusiano wa Ujerumani na wanajeshi wa Ivory Coast waliokamatwa mjini Bamako mwanzoni mwa mwezi huu