15 Agosti 2019
Matangazo
-China imeunga mkono rai ya Pakistani kutaka mzozo wa India na Kashmir ujadiliwe katika baraza la usalama la umoja wa mataifa.
-Korti moja mjini Roma imetengua amri ya waziri wa mambo ya nchi hiyo kuizuia meli ya wahamiaji kutia nanga.
-Winnie Byanyima kutoka Uganda ateuliwa mkurugenzi mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na ukimwi, UNAIDS.