1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

SADC yataka serikali ya pamoja DRC

Mohammed Khelef
14 Januari 2019

Wakati Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) ikitoa wito wa kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mgombea aliyetangazwa kushika nafasi ya pili, Martin Fayulu wa muungano wa upinzani wa LAMUKA, anasema serikali imetuma wanajeshi kuzunguka makao makuu ya chama chake mjini Kinshasa. Kurunzi 14.01.2019

https://p.dw.com/p/3BVZH